Monday, March 24, 2014



NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MHESHIMIWA DK. PINDI CHANA (MB), AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA WATOTO LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MOROGORO TAREHE 11 MACHI, 2014





 Mheshimiwa Dk. Pindi Chana Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (wa tatu kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wengine ni Nuru Milao Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (wa pili kulia), Tukae Njiku Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Watoto Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Jamaly Mwenyekiti wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (wa tatu kulia), Sandra Bisin Mkuu wa Mawasiliano na Ushirikiano kutokt UNICEF na Charles Elisante Katibu wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Mheshimiwa Dk. Pindi Chana Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akihutubia Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wengine ni Nuru Milao Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (wa kwanza kulia), Ummy Jamaly Mwenyekiti wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (wa pili kulia) na Charles Elisante Katibu wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


     Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


     Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Ummy Jamaly Mwenyekiti wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akihutubia Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano Mkuu wa siku mbili wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment